Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 11:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Wakafika Yerusalemi tena: hatta alipokuwa akitembea hekaluni, makuhani wakuu na waandishi na wuizee wakamwambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Basi, wakafika tena Yerusalemu. Yesu alipokuwa akitembea hekaluni, makuhani wakuu, waalimu wa sheria na wazee walimwendea,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Basi, wakafika tena Yerusalemu. Yesu alipokuwa akitembea hekaluni, makuhani wakuu, waalimu wa sheria na wazee walimwendea,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Basi, wakafika tena Yerusalemu. Yesu alipokuwa akitembea hekaluni, makuhani wakuu, waalimu wa sheria na wazee walimwendea,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Wakafika tena Yerusalemu, na Isa alipokuwa akitembea Hekaluni, viongozi wa makuhani, walimu wa Torati pamoja na wazee wa watu wakamjia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Wakafika tena Yerusalemu, na Isa alipokuwa akitembea Hekaluni, viongozi wa makuhani, walimu wa Torati pamoja na wazee wa watu wakamjia.

Tazama sura Nakili




Marko 11:27
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa mamlaka gani utendayo haya? Na ni nani aliyekupa mamlaka hii uyatende haya?


BAADA ya siku mbili ilikuwa siku kuu ya Pasaka, na mikate isiyochachwa: makuhani wakuu na waandishi wakatafuta njia ya kumkamata kwa hila na kumwua.


Na Yesu alikuwa akitembea ndani ya hekalu, katika ukumbi wa Sulemani.


Yesu akamjibu, Mimi nimesema na ulimwengu kwa wazi; mimi siku zote nalifundisha katika masunagogi na katika hekalu, wakusanyikapo Wayahudi siku zote; wala kwa siri sikusema neno.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo