Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 11:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 La, kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Lakini msipowasamehe wengine, hata Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe nyinyi makosa yenu.]

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Lakini msipowasamehe wengine, hata Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe nyinyi makosa yenu.]

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]”

Tazama sura Nakili




Marko 11:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

Vivyo hivyo na Baba yangu wa mbinguni atawatenda ninyi, kama ninyi kwa mioyo yenu hamkusamehe killa mtu ndugu yake makosa yake.


Kwa kuwa wako ni ufalme, na nguvu, na utukufu, hatta milele. Amin. Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nanyi.


Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo