Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 11:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Na assubuhi walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umekauka tangu shina lake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kesho yake asubuhi walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Asubuhi yake walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.

Tazama sura Nakili




Marko 11:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

na jua lilipozuka zikanyauka; na kwa kuwa hazina mizizi zikakauka.


Akajibu, akasema, Killa pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni, litangʼolewa.


Hatta assubuhi alipokuwa akirudi mjini, akashikwa na njaa.


Hatta assubuhi yake walipotoka Bethania akaona njaa.


maana haukuwa wakati wa tini. Yesu akajibu, akauambia, Tangu leo hatta milele mtu asile matunda kwako. Wanafunzi wake wakasikia.


Mtu asipokaa ndani yangu, atupwa nje kama tawi, akauka; huyakusanya, huyatupa motoni, yakateketea.


bali ikitoa miiba ua magugu hukataliwa na kuwa karibu na laana; mwisho wake ni kuteketea.


Watu hawa ni miamba yenye khatari katika karamu zenu za upendo wafanyapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo khofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa marra mbili, na kungʼolewa kabisa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo