Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 11:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Na ilipokuwa jioni alitoka mjini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Ilipofika jioni, Isa na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Ilipofika jioni, Isa na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.

Tazama sura Nakili




Marko 11:19
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.


Yesu akaingia Yerusalemi hatta ndani ya hekalu: na alipokwisha kutazama yote pande zote, kwa kuwa ni wakati wa jioni, akatoka akaenda Bethania pamoja na wathenashara.


Bassi killa siku alikuwa akifundisha hekaluni wakati wa mchana; na wakati wa usiku akitoka, na kulala katika mlima uitwao mlima wa mizeituni.


Maadam mnayo nuru, iaminini nuru, mpate kuwa wana wa nuru. Hayo aliyasema Yesu, akaenda zake akajificha nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo