Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 11:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 wala hakuacha mtu achukue chombo kati ya hekalu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Hakumruhusu mtu yeyote kupitia hekaluni akichukua kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Hakumruhusu mtu yeyote kupitia hekaluni akichukua kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Hakumruhusu mtu yeyote kupitia hekaluni akichukua kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu.

Tazama sura Nakili




Marko 11:16
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafika Yerusalemi, Yesu akaingia ndani ya hekalu, akaanza kuwafukuza watu waliokuwa wakiuza na kununua ndani ya hekalu, akazipindua meza za wabadilio fedha, na viti vyao wauzao njiwa;


Akafundisha, akiwaambia, Haikuandikwa, Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote? Bali nanyi mmeifanya kuwa pango ya wanyangʼanyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo