Marko 11:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 umebarikiwa ufalme ujao kwa jina la Bwana, ufalme wa baba yetu Daud. Utuokoe sasa, wewe uliye juu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Ubarikiwe ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Sifa kwa Mungu juu mbinguni!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Ubarikiwe ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Sifa kwa Mungu juu mbinguni!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Ubarikiwe ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Sifa kwa Mungu juu mbinguni!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 “Umebarikiwa ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 “Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!” Tazama sura |