Marko 10:51 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192151 Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyieni? Yule kipofu akamwambia, Rabbi, nipate kuona tena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema51 Yesu akamwuliza, “Unataka nikufanyie nini?” Huyo kipofu akamwambia, “Mwalimu, naomba nipate kuona.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND51 Yesu akamwuliza, “Unataka nikufanyie nini?” Huyo kipofu akamwambia, “Mwalimu, naomba nipate kuona.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza51 Yesu akamwuliza, “Unataka nikufanyie nini?” Huyo kipofu akamwambia, “Mwalimu, naomba nipate kuona.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu51 Isa akamuuliza, “Unataka nikufanyie nini?” Yule kipofu akajibu, “Mwalimu, nataka kuona.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu51 Isa akamuuliza, “Unataka nikufanyie nini?” Yule kipofu akajibu, “Mwalimu, nataka kuona.” Tazama sura |