Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 10:49 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

49 Wakamwita yule kipofu, wakamwambia, Jipe moyo; ondoka, anakuita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Yesu alisimama, akasema, “Mwiteni.” Basi, wakamwita huyo kipofu, wakamwambia, “Jipe moyo! Simama, anakuita.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Yesu alisimama, akasema, “Mwiteni.” Basi, wakamwita huyo kipofu, wakamwambia, “Jipe moyo! Simama, anakuita.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Yesu alisimama, akasema, “Mwiteni.” Basi, wakamwita huyo kipofu, wakamwambia, “Jipe moyo! Simama, anakuita.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Isa akasimama na kusema, “Mwiteni.” Hivyo wakamwita yule mtu kipofu, wakamwambia, “Jipe moyo! Inuka, anakuita.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Isa akasimama na kusema, “Mwiteni.” Hivyo wakamwita yule mtu kipofu, wakamwambia, “Jipe moyo! Inuka, anakuita.”

Tazama sura Nakili




Marko 10:49
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamletea mgonjwa wa kupooza, amelala kitandani: na Yesu, akiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa wa kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanaugu; umeondolewa dhambi zako.


Akatupa vazi lake, akaruka, akamwendea Yesu.


Yesu akasimama, akaamuru aletwe kwake;


Na alipokwisha kusema haya, akaenda zake, akamwita dada yake, Mariamu, kwa siri, akisema, Mwalimu yupo, anakuita.


Kwa hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, illi afanye suluhu kwa dhambi za watu wake.


Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu asiyeweza kuyachukua mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijuribiwa sawa sawa na sisi katika mambo yote, bila dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo