Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 10:41 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

41 Hatta wale kumi waliposikia wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.

Tazama sura Nakili




Marko 10:41
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wale kumi waliposikia, wakawakasirikia wale ndugu wawili.


Yesu akawaita, akawaambia, Mwajua ya kuwa wale wanaohesabiwa kuwa majumbe wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha.


Kulikuwa na mashindano kwao, ni nani anaehesabiwa kuwa mkubwa.


Akawaambia, Wafalme wa Mataifa huwatawala, na wenye mamlaka juu yao huitwa wafadhili.


Kwa pendo la udugu, mwe na shauku ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Msitende neno lo lote kwa kushindana na kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, killa mtu na amhesabu mwenziwe kuwa hora kuliko nafsi yake;


Au mwadhani ya kwamba maandiko yasema burre? Roho ikaayo ndani yetu hutamani kiasi cha kuona wivu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo