Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 10:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Wakasema, Musa alitoa rukhusa kuandika khati ya talaka na kumwacha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wakajibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wakajibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura Nakili




Marko 10:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nae Yusuf, mumewe, kwa kuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.


Wakamwambia, Jinsi gani bassi Musa aliamuru kumpa khati ya talaka, na kumwacha?


Nae akajibu, akawaambia, Musa aliwaamuru nini?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo