Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 10:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Akawaambia, Mwalaka niwafanyie nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?”

Tazama sura Nakili




Marko 10:36
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakamwendea, wakimwambia, Mwalimu, twataka utufanyie lo lote tutakalokuomba.


Wakamwambia, Utujalie sisi tuketi, mmoja mkono wako wa kuume, na mmoja mkono wako wa kushoto katika utukufu wako.


Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyieni? Yule kipofu akamwambia, Rabbi, nipate kuona tena.


Mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, mtaomba killa mtakalo, na mtafanyiziwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo