Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 10:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakamwendea, wakimwambia, Mwalimu, twataka utufanyie lo lote tutakalokuomba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, walimwendea Yesu wakamwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie kitu tutakachokuomba.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, walimwendea Yesu wakamwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie kitu tutakachokuomba.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, walimwendea Yesu wakamwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie kitu tutakachokuomba.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Kisha Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie lolote tutakalokuomba.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Kisha Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie lolote tutakalokuomba.”

Tazama sura Nakili




Marko 10:35
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akaendelea mbele, akaona ndugu wengine wawili. Yakob wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake, walikuwa katika chombo pamoja na Zebedayo baba yao, wakitengeneza nyavu zao; akawaita.


Akawaambia, Mwalaka niwafanyie nini?


Akamchukua Petro na Yakobo na Yohana pamoja nae, akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.


Wala hakumrukhusu mtu afuatane nae, illa Petro, na Yakobo, na Yohana ndugu yake Yakobo.


Hatta baada ya siku sita Yesu akawachukua Petro, na Yakobo, na Yohana, akawapeleka juu ya mlima mrefu kwa faragha peke yao:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo