Marko 10:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192134 na watamhukumu afe, watamtia mikononi mwa mataifa, nao watamdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumtemea mate, na kumwua: na siku ya tatu atafufuka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Nao watamdhihaki; watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumuua. Lakini baada ya siku tatu atafufuka.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Nao watamdhihaki; watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumuua. Lakini baada ya siku tatu atafufuka.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Nao watamdhihaki; watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumuua. Lakini baada ya siku tatu atafufuka.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 ambao watamdhihaki na kumtemea mate, watampiga na kumuua. Siku tatu baadaye atafufuka.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 ambao watamdhihaki na kumtemea mate, watampiga na kumuua. Siku tatu baadaye atafufuka.” Tazama sura |