Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 10:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Yesu akawakazia macho, akanena, Kwa wana Adamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo; maana yote yawezekana kwa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa Mungu si hivyo, maana kwa Mungu mambo yote huwezekana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa Mungu si hivyo, maana kwa Mungu mambo yote huwezekana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa Mungu si hivyo, maana kwa Mungu mambo yote huwezekana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Isa akawatazama, akawaambia, “Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu sivyo. Mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Isa akawatazama, akawaambia, “Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu sivyo. Mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili




Marko 10:27
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawatazama, akawaambia, Kwa wana Adamu hili haliwezekani; bali kwa Mungu yote yawezekana.


Nao wakashangaa mno, wakiambiana, Nani, bassi, awezae kuokoka?


kwa maana hapana neno lisilowezekana kwa Mungu.


Akasema, Yasiyowezekana kwa wana Adamu, yawezekana kwa Mungu.


atakaeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule awezao kuvitiisha hatta na vitu vyote chini yake.


akihesabu ya kuwa Mungu aweza kumfufua kutoka kuzimu; akampata tena toka huko kwa mfano.


Nae, kwa sababu hii, aweza kuwaokoa kabisa wao wajao kwa Mungu kwa yeye; maana yu hayi siku zote illi awaombee.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo