Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 10:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Nao wakashangaa mno, wakiambiana, Nani, bassi, awezae kuokoka?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Wanafunzi wake wakashangaa sana wakaulizana, “Ni nani basi, atakayeweza kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Wanafunzi wake wakashangaa sana wakaulizana, “Ni nani basi, atakayeweza kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Wanafunzi wake wakashangaa sana wakaulizana, “Ni nani basi, atakayeweza kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wanafunzi wake wakashangaa sana. Wakaulizana wao kwa wao, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wanafunzi wake wakashangaa sana. Wakaulizana wao kwa wao, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura Nakili




Marko 10:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ni rakhisi ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.


Yesu akawakazia macho, akanena, Kwa wana Adamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo; maana yote yawezekana kwa Mungu.


Akapanda mle cbomboni walimo; npepo ukakoma; wakashangaa sana, kupita kiasi, wakastaajabu;


Ametenda yote vizuri; viziwi awafanya wasikie, na bubu waseme.


Mtu mmoja akamwambia, Bwana, wao wanaookolewa ni wachaehe?


Nao waliposikia, wakasema, Nani, bassi, awezae kuokoka?


Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka pamoja na uyumba yako.


Wao wakhudumu wa Kristo? (nanena kiwazimu), mimi zaidi; kwa kazi kuzidi sana; kwa mapigo kupita kiasi; kwa vifungo kuzidi sana; kwa mauti marra nyingi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo