Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 10:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Yesu akamwambia, Mbona waniita mwema? hakuna mwema illa mmoja, ndiye Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Isa akamwambia, “Mbona unaniita mwema? Hakuna yeyote aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Isa akamwambia, “Mbona unaniita mwema? Hakuna yeyote aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili




Marko 10:18
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Ya nini kuniita mwema? Hakuna mwema illa mmoja, ndiye Mungu. Lakini ukitaka kuingia katika nzima, zishike amri.


Hatta alipokuwa akitoka kwenda njiani mtu mmoja akaja mbio, akampigia magoti, akamwuliza, Mwalimu mwema, nifanyeni nipate kuurithi uzima wa milele?


Wazijua amri, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudu uwongo, Usidanganye, Waheshimu haha yako na mama yako.


Yesu akamwambia, Mbona waniita mwema? Hakuna mwema illa mmoja ndiye Mungu.


Wote wamepotoka, wameoza wote pia; Hakuna mtenda mema hatta mmoja:


Killa kutoa kwenia, na killa kitolewacho kilicho kamili, chatoka juu, chashuka kwa Baba wa mianga, kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.


Na sisi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu ndani yetu na kuliamini. Mungu ni pendo, nae akaae katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.


Asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni pendo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo