Marko 10:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Akawaambia, Killa mtu atakaemwacha mkewe na kuoa mwingine azini na kumkosa: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Naye akawaambia, “Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Naye akawaambia, “Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Naye akawaambia, “Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Akawajibu, “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kuoa mke mwingine, anazini naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Akawajibu, “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kuoa mke mwingine, anazini naye. Tazama sura |