Marko 1:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 Tena, siku zile, alikuja Yesu kutoka Nazareti ya Galilaya, akabatizwa na Yohana katika Yardani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Siku hizo, Yesu alifika kutoka Nazareti, mji wa Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Siku hizo, Yesu alifika kutoka Nazareti, mji wa Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Siku hizo, Yesu alifika kutoka Nazareti, mji wa Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Wakati huo Isa akaja kutoka Nasiri ya Galilaya, naye akabatizwa na Yahya katika Mto Yordani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Wakati huo Isa akaja kutoka Nasiri ya Galilaya, naye akabatizwa na Yahya katika Mto Yordani. Tazama sura |