Marko 1:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Mimi naliwabatizeni kwa maji; bali yeye atawabalizeni kwa Roho Mtakatifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Mimi nawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho wa Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Mimi nawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho wa Mwenyezi Mungu.” Tazama sura |