Marko 1:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192135 Hatta alfajiri na mapema sana, akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipo watu akasali huko. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Kesho yake, kabla ya mapambazuko, Yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Kesho yake, kabla ya mapambazuko, Yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Kesho yake, kabla ya mapambazuko, Yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Alfajiri na mapema sana kulipokuwa bado kuna giza, Isa akaamka, akaondoka, akaenda mahali pa faragha ili kuomba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Alfajiri na mapema sana kulipokuwa bado kuna giza, Isa akaamka, akaondoka, akaenda mahali pa faragha ili kuomba. Tazama sura |