Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 1:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Marra wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Mara wakaacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Mara wakaacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili




Marko 1:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Marra wakaziacha nyavu, wakamfuata.


Yesu akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.


Akaendelea mbele kidogo, akamwona Yakobo wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake, nao pia walikuwa chomboni, wakizitengeneza nyavu zao.


Bassi, kadhalika killa mmoja wenu asiyeviacha vitu vyote alivyo navyo hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Na walipoleta vyombo pwani, wakaacha vyote wakamfuata.


Naam, naliona mambo yote kuwa khasara kwa ajili ya uzuri usio kiasi wa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambae kwa ajili yake nimepata khasara ya mambo yote, nikiyahesabu kuwa kania mavi illi nimpate Kristo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo