Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 9:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 na wengine kwamba Eliya ametokea: na wengine kwamba nabii mmoja katika wale wa kale amefufuka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Wengine walisema kwamba Elia ametokea, na wengine walisema kwamba mmojawapo wa manabii wa kale amerudi duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Wengine walisema kwamba Elia ametokea, na wengine walisema kwamba mmojawapo wa manabii wa kale amerudi duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Wengine walisema kwamba Elia ametokea, na wengine walisema kwamba mmojawapo wa manabii wa kale amerudi duniani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Wengine wakasema Ilya amewatokea, na wengine kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wengine wakasema Ilya amewatokea, na wengine wakasema kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuka.

Tazama sura Nakili




Luka 9:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakasema, Wengine Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.


Wanafunzi wake wakamwuliza, wakinena, Mbona bassi waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?


Wengine walinena, Huyu ni nabii au kama mmoja wa manabii.


Wakamjibu, Yohana Mbatizaji; wengine Eliya; wengine mmojawapo wa manabii.


Wakajibu, wakasema, Yohana Mbatizaji: na wengine, Eliya: na wengine kwamba nabii mmoja katika wale wa kale amefufuka.


Wakamwuliza, Nini bassi? U Eliya wewe? Akanena, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo