Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 9:52 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

52 Akatuma wajumbe mbele ya uso wake, wakashika njia, wakaingia katika kijiji cha Wasamaria, illi kumfanyia tayari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

52 Basi, akawatuma wajumbe wamtangulie, nao wakaenda wakaingia kijiji kimoja cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

52 Basi, akawatuma wajumbe wamtangulie, nao wakaenda wakaingia kijiji kimoja cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

52 Basi, akawatuma wajumbe wamtangulie, nao wakaenda wakaingia kijiji kimoja cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

52 Akatuma watu wamtangulie, nao wakaenda katika kijiji kimoja cha Samaria kumwandalia kila kitu;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

52 Akatuma watu wamtangulie, nao wakaenda katika kijiji kimoja cha Samaria kumwandalia kila kitu;

Tazama sura Nakili




Luka 9:52
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hawa thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akinena, Katika njia ya Mataifa msiende, wala mjini mwa Wasamaria msiingie:


BASSI baada ya mambo haya Bwana akachagua wengine sabaini, akawatuma wawili wawili wamtangulie kwenda killa mji na pahali atakakokwenda mwenyewe.


Lakini Msamaria mmoja akisafiri, akamjia, nae alipomwona akamhurumia;


Ikawa walipokuwa njiani kwenda Yerusalemi, alikuwa akipita kati ya Samaria na Galilaya.


akaanguka kufudifudi miguuni pake, akimshukuru; nae ni Msamaria.


Huyu ndiye aliyeandikiwa, Tazama, mimi namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako atakaeitengeneza njia yako mbele yako.


Na alikuwa hana buddi kupita katikati ya Samaria.


Bassi akafika mji wa Samaria, uitwao Sukar, karibu na lile shamba ambalo Yakobo alimpa Yusuf mwanawe.


Bassi yule mwanamke wa Kisamaria akamwambia, Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwangu, nami ni mwanamke wa Kisamaria? kwa maana Wayahudi hawachangamani na Wasamaria.


Wayahudi wakajibu wakamwambia, Hatuneni vema sisi kwamba wewe u Msamaria, na una pepo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo