Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 9:50 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

50 Yesu akamwambia, Msimkataze, kwa maana yeye asiye kinyume chetu ni upande wetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Lakini Yesu akamwambia, “Msimkataze; kwani asiyepingana nanyi yuko upande wenu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Lakini Yesu akamwambia, “Msimkataze; kwani asiyepingana nanyi yuko upande wenu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Lakini Yesu akamwambia, “Msimkataze; kwani asiyepingana nanyi yuko upande wenu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Isa akasema, “Msimzuie, kwa sababu yeyote ambaye si kinyume nanyi, yu upande wenu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Isa akasema, “Msimzuie, kwa sababu yeyote ambaye si kinyume nanyi, yu upande wenu.”

Tazama sura Nakili




Luka 9:50
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu asiye upande wangu yu kinyume changu; na mtu asivekusanya pamoja nami hutapanya.


Hatta walipofika Kapernaum, wale watozao nussu shekeli wakamwendea Petro, wakasema, Je! Mwalimu wenu hatoi nussu shekeli?


Petro akamwambia, Kwa wageni. Yesu akamwambia, Bassi, kama ni hivyo, wana ni huru.


Yohana akamjibu, akamwambia, Mwalimu, tulimwona mtu akifukuza pepo kwa jina lako, nae hatufuati sisi: tukamkataza, kwa sababu hatufuati sisi.


Kwa kuwa ye yote atakaewanywesha ninyi kikombe cha maji kwa jina langu, kwa kuwa ninyi watu wa Kristo, amin nawaambieni hatakosa thawabu yake.


Mtu asiye pamoja nami ni adui yangu: nae asiyekusanya pamoja nami hutapanya.


Hakuna mtumishi awezae kuwatumikia bwana wawili: maana au atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na Mamona.


Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hapana mtu asemae katika Roho ya Mungu, anenae, Yesu ni anathema; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo