Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 9:45 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

45 Lakini hawakulifuhamu neno lile, likawa limefichwa kwao wasipate kulitambua. Wakaogopa kumwuliza maana ya neno lile.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. Jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. Jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. Jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Lakini wao hawakuelewa alimaanisha nini. Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumuuliza maana yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Lakini wao hawakuelewa alimaanisha nini. Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumuuliza maana yake.

Tazama sura Nakili




Luka 9:45
15 Marejeleo ya Msalaba  

Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akinena, Hasha, Bwana, haya hayatakupata.


Walipokuwa wakikaa Galilaya, Yesu akawaambia, Mwana wa Adamu karibu atatiwa mikononi mwa watu,


Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huku kufufuka katika wafu maana yake nini?


Nao hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.


Nao hawakufahamu haya hatta kidogo, neno hili likawa limefichwa kwao, wala hawakuyajua yaliyonenwa.


Wala hawakuelewa na neno lile alilowaanibia.


Yakawaingia mabishano, ni nani atakaekuwa mkubwa miongoni mwao.


Mambo haya wanafunzi wake hawakuyafahamu hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walikumbuka ya kwamba ameandikiwa haya na ya kwamba walimtendea haya.


Bassi makutano wakamjibu, Sisi tumesikia katika torati ya kwamba Kristo adumu hatta milele: nawe wanenaje ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kuinuliwa? Huyu Mwana wa Adamu ni nani?


Tomaso akamwambia, Bwana, hatujui uendako; twaijuaje njia?


Bassi wanafunzi wake wakasemezana, Je! mtu amemletea chakula?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo