Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 9:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Na sauti hii ilipokuja Yesu akaonekana peke yake. Nao wakanyamaza wasimwambie mtu siku zile neno lo lote la hayo waliyoyaona.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Baada ya hiyo sauti kusikika, Yesu alionekana akiwa peke yake. Wanafunzi walikaa kimya juu ya tukio hilo, na wakati ule hawakumwambia mtu yeyote mambo hayo waliyoyaona.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Baada ya hiyo sauti kusikika, Yesu alionekana akiwa peke yake. Wanafunzi walikaa kimya juu ya tukio hilo, na wakati ule hawakumwambia mtu yeyote mambo hayo waliyoyaona.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Baada ya hiyo sauti kusikika, Yesu alionekana akiwa peke yake. Wanafunzi walikaa kimya juu ya tukio hilo, na wakati ule hawakumwambia mtu yeyote mambo hayo waliyoyaona.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Baada ya sauti hiyo kusema, walimkuta Isa akiwa peke yake. Wale wanafunzi wakalihifadhi jambo hili, wala kwa wakati huo hawakumwambia mtu yeyote yale waliyokuwa wameyaona.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Baada ya sauti hiyo kusema, walimkuta Isa akiwa peke yake. Wale wanafunzi wakalihifadhi jambo hili, wala kwa wakati huo hawakumwambia mtu yeyote yale waliyokuwa wameyaona.

Tazama sura Nakili




Luka 9:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu akawaagiza, akinena, Msimwambie mtu khabari ya mambo hayo, hatta Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


Maana yake hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na khofu nyingi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo