Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 9:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Na tazama, watu wawili walikuwa wakisemezana nae, nao ni Musa na Eliya,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao walikuwa Mose na Elia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao walikuwa Mose na Elia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao walikuwa Mose na Elia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Ghafula wakawaona watu wawili, ndio Musa na Ilya, wakizungumza naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Ghafula wakawaona watu wawili, ndio Musa na Ilya, wakizungumza naye.

Tazama sura Nakili




Luka 9:30
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nae atatangulia mbele ya uso wake, mwenye roho ya Eliya, na nguvu zake, kuigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na kuwageuza maasi waelekee akili zao wenye haki; illi kumfanyia tayari Bwana watu waliotengenezwa.


Akaanza toka Musa na manabii, akawafasiria katika maandiko yote mambo yaliyomkhusu yeye.


Akawaambia, Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambieni, nilipokuwa kwenu, ya kuwa hayana buddi kutimizwa yote niliyoandikiwa katika torati ya Musa, na katika manabii, na katika zaburi.


Wakajibu, wakasema, Yohana Mbatizaji: na wengine, Eliya: na wengine kwamba nabii mmoja katika wale wa kale amefufuka.


Ikawa alipokuwa akisali, sura ya uso wake ikageuka, na mavazi yake yakawa meupe, yakimetameta.


walioonekana katika utukufu, wakanena khahari ya kufariki kwake atakakotimiza Yerusalemi.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa, neema na kweli zilikuwa kwa mkono wa Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo