Luka 9:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Kwa maana walikuwako wanaume wapata elfu tano. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 (Walikuwapo pale wanaume wapatao 5,000.) Basi, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waambieni watu waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 (Walikuwapo pale wanaume wapatao 5,000.) Basi, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waambieni watu waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 (Walikuwapo pale wanaume wapatao 5,000.) Basi, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waambieni watu waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 (Walikuwepo wanaume wapatao elfu tano.) Isa akawaambia wanafunzi wake, “Waketisheni katika vikundi vya watu hamsini hamsini.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Walikuwako wanaume wapatao 5,000. Isa akawaambia wanafunzi wake, “Waketisheni katika makundi ya watu hamsini hamsini.” Tazama sura |