Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:54 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

54 Nae akawatoa nje wote, akamshika mkono wake, akapaaza sauti yake, akisema, Kijana, ondoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

54 Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto, amka!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

54 Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto, amka!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

54 Lakini Yesu akamshika mkono akasema, “Mtoto, amka!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

54 Isa akamshika yule binti mkono na kuita, “Binti, amka!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

54 Isa akamshika yule binti mkono na kuita, “Binti, amka!”

Tazama sura Nakili




Luka 8:54
15 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta makutano walipoondoshwa, akaingia, akamshika mkono wake; yule kijana akasimama.


marra wakamwambia khahari zake: akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akawakhudumia.


Akamshika mkono vule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate ya macho, akaweka mikono yake juu yake, akamwuliza, Waona kitu?


Lakini Yesu akamshika mkouo akamwinua; nae akasimama.


Alipofika nyumbani, hakumwacha mtu aingie pamoja nae, illa Petro, na Yakobo na Yohana, na baba yake yule kijana na mama yake. Na watu wote walikuwa wakilia, wakimwombolezea.


Wakamcheka sana, wakijua ya kuwa amekwisha kufa.


Roho yake ikarudi, akasimama marra moja. Akaagiza apewe chakula.


Akiisha kusema haya, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, toka, njoo huku.


Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha awatakao.


Petro akawatoa wote, akapiga magoti, akaomba, akaielekea mayiti, akanena, Tabitha, ondoka. Nae akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


(kama ilivyoandikwa, Nimekuweka kuwa baba wa mataifa mengi) mbele zake aliyemwamini, yaani Mungu, mwenye kuwahuisha wafu, avitajae vitu visivyokuwa kana kwamba vimekuwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo