Luka 8:52 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192152 Akasema, Msilie; kwa maana hakufa, bali amelala usingizi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema52 Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, “Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND52 Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, “Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza52 Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, “Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu52 Wakati ule ule watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili ya huyo binti. Isa akawaambia, “Acheni kulia. Huyu binti hajafa, ila amelala.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu52 Wakati ule ule watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili ya huyo binti. Isa akawaambia, “Acheni kulia. Huyu binti hajafa, ila amelala.” Tazama sura |