Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:52 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

52 Akasema, Msilie; kwa maana hakufa, bali amelala usingizi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

52 Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, “Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

52 Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, “Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

52 Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, “Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

52 Wakati ule ule watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili ya huyo binti. Isa akawaambia, “Acheni kulia. Huyu binti hajafa, ila amelala.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

52 Wakati ule ule watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili ya huyo binti. Isa akawaambia, “Acheni kulia. Huyu binti hajafa, ila amelala.”

Tazama sura Nakili




Luka 8:52
14 Marejeleo ya Msalaba  

wakinena, Twaliwapigia filimbi, wala hamkucheza; twaliomboleza, wala hamkulia.


Wakamfuata makutano mengi ya watu, na ya wanawake, waliojipigapiga, wakaomboleza.


Na makutano wote waliokusanyika kutazama haya, walipotazama yaliyofanyika, wakarudi, wakijipiga vifua.


Alipofika nyumbani, hakumwacha mtu aingie pamoja nae, illa Petro, na Yakobo na Yohana, na baba yake yule kijana na mama yake. Na watu wote walikuwa wakilia, wakimwombolezea.


Wakamcheka sana, wakijua ya kuwa amekwisha kufa.


Yesu aliposikia, alisema, Ugonjwa huu si wa mauti, bali kwa ajili ya utukufu wake Mungu, illi Mwana wa Mungu atukuzwe kwa huo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo