Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:51 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

51 Alipofika nyumbani, hakumwacha mtu aingie pamoja nae, illa Petro, na Yakobo na Yohana, na baba yake yule kijana na mama yake. Na watu wote walikuwa wakilia, wakimwombolezea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

51 Alipofika nyumbani hakumruhusu mtu kuingia ndani pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohane, Yakobo na wazazi wa huyo msichana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

51 Alipofika nyumbani hakumruhusu mtu kuingia ndani pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohane, Yakobo na wazazi wa huyo msichana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

51 Alipofika nyumbani hakumruhusu mtu kuingia ndani pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohane, Yakobo na wazazi wa huyo msichana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

51 Walipofika nyumbani mwa Yairo, hakumruhusu mtu yeyote aingie ndani naye isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, pamoja na baba na mama wa yule binti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

51 Walipofika nyumbani kwa Yairo, hakumruhusu mtu yeyote aingie ndani naye isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, pamoja na baba na mama wa yule binti.

Tazama sura Nakili




Luka 8:51
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akamchukua Petro na Yakobo na Yohana pamoja nae, akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.


Simon ambae alimpa jina la pili Petro, na Andrea, ndugu yake; Yakobo na Yohana, Filipo na Bartholomayo.


Yesu aliposikia, akamjibu, akasema, Usiogope, amini tu, nae ataokolewa.


Akasema, Msilie; kwa maana hakufa, bali amelala usingizi.


Hatta baada ya maneno haya, panapo siku nane, akamchukua Petro na Yohana na Yakobo, akapanda mlimani kusali.


Petro akawatoa wote, akapiga magoti, akaomba, akaielekea mayiti, akanena, Tabitha, ondoka. Nae akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo