Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda, nyingine zikaanguka karibu na njia, zikakanyagwa, ndege za anga wakazila.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 “Mpanzi alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda hizo mbegu, nyingine zilianguka njiani, na wapita njia wakazikanyaga na ndege wakazila.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 “Mpanzi alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda hizo mbegu, nyingine zilianguka njiani, na wapita njia wakazikanyaga na ndege wakazila.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 “Mpanzi alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda hizo mbegu, nyingine zilianguka njiani, na wapita njia wakazikanyaga na ndege wakazila.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia; zikakanyagwa, nao ndege wa angani wakazila.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia; zikakanyagwa, nao ndege wa angani wakazila.

Tazama sura Nakili




Luka 8:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akasema, Azipandiie zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;


Ninyi ni chumvi ya dunia: lakini chumvi ikiwa imeharibika itatiwani ikolee? Haifai tena kabisa, illa kufupwa nje na kukanyagwa na watu.


Hawa ndio walio njiani, lipandwapo neno; nao, wakiisha kusikia, marra huja Shetani, akaliondoa lile neno lililopandwa mioyoni mwao.


Makutano mengi yalipokutanika, na watu wa killa mji wakimjia, akasema kwa mfano:


Nyingine zikaanguka penye mwamba, zikamea, zikakauka kwa kukosa maji.


KWA hiyo imetupasa kuyaangalia zaidi yaliyasikiwa tusije tukayakosa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo