Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:48 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

48 Akamwambia. Jipe moyo mkuu, binti, imani yako imekuponya; enenda zako kwa amani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda na amani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda na amani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda na amani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Basi Isa akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Basi Isa akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”

Tazama sura Nakili




Luka 8:48
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanzi uliopondeka hatauvunja, Wala kitani kitokacho moshi hatakizima, Hatta aletapo hukumu yake ikashinda.


Yesu akamwambia akida, Nenda zako: na kadiri ulivyoamini upate. Mtumishi wake akapona saa ileile.


Wakamletea mgonjwa wa kupooza, amelala kitandani: na Yesu, akiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa wa kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanaugu; umeondolewa dhambi zako.


Yesu akageuka, akamwona, akamwambia, Jipe moyo mkuu, binti yangu; imani yako imekuponya. Yule mwanamke akapona tangu saa ile.


Akamwambia, Binti imani yako imekuponya, enenda zako kwa amani, ukawe mzima, usiwe na msiba wako tena.


Akamwambia, Simama; enenda zako; imani yako imekuokoa.


Yesu akamwambia, Upewe kuona imani yako imekuponya.


Akamwambia yule mwanamke, Imani yako imekuokoa; enenda zako kwa amani.


Yule mwanamke alipoona ya kuwa hakustirika, akaja akitetemeka, akamwangukia, akamweleza mbele ya watu wote sababu hatta akamgusa, na jinsi alivyoponywa marra moja.


Mtu huyo alimsikia Paolo akinena; nae akamkazia macho akaona ya kuwa ana imani ya kuponywa,


Nami nitawakaribisheni, Nitakuwa Baba kwenu, Na ninyi mtakuwa kwangu wana na binti, anena Bwana Mwenyiezi.


Maana ni kweli, sisi nasi tumekhubiriwa khabari njema kama hao. Lakini neno lile lililosikiwa halikuwafaa bao, kwa sababu halikuchanganyika na imani ndani yao waliosikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo