Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:46 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

46 Yesu akasema, Mtu alinigusa, kwa kuwa naliona nguvu zimenitoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”

Tazama sura Nakili




Luka 8:46
4 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta siku moja ya siku zile alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na waandishi wameketi, waliokuwa wametoka katika killa kijiji cha Galilaya, na cha Yahudi, na Yerusalemi; uweza wa Bwana ulikuwa pamoja nae apate kuwaponya.


Makutano yote wakatafuta kumgusa: kwa maana nguvu zilikuwa zikimtoka, zikawaponya wote.


Yule mwanamke alipoona ya kuwa hakustirika, akaja akitetemeka, akamwangukia, akamweleza mbele ya watu wote sababu hatta akamgusa, na jinsi alivyoponywa marra moja.


Bali ninyi m mzao mteule, ukubani wa kifaume, taifa takatifu, watu wa milki, mpate kutangaza fadhili zake aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo