Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 Yesu alipokuwa akirudi makutano wakamkaribisha, kwa maana watu wote walikuwa wakimngojea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Yesu aliporudi upande mwingine wa ziwa, kundi la watu lilimkaribisha, kwa maana wote walikuwa wanamngojea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Yesu aliporudi upande mwingine wa ziwa, kundi la watu lilimkaribisha, kwa maana wote walikuwa wanamngojea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Yesu aliporudi upande mwingine wa ziwa, kundi la watu lilimkaribisha, kwa maana wote walikuwa wanamngojea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Basi Isa aliporudi, umati mkubwa wa watu wakampokea kwa furaha, kwani walikuwa wakimngojea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Basi Isa aliporudi, umati mkubwa wa watu ukampokea kwa furaha, kwani walikuwa wakimngojea.

Tazama sura Nakili




Luka 8:40
12 Marejeleo ya Msalaba  

AKAPANDA chomboni, akavuka, akafika mjini kwake.


Daud mwenyewe amwita Bwana: bassi amekuwaje mwana wake? Na ule mkutano mkubwa walikuwa wakimsikiliza kwa furaha.


Hatta Yesu alipokwisha kuvuka kurudia ngʼambu katika kile chombo, wakamkusanyikia makutano mengi: nae alikuwa kando ya bahari.


Maana Herode alimwogopa Yohana: hatta akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu, akamhami, na alipokwisha kumsikiliza alifanya mambo mengi: nae alikuwa akimsikiliza kwa furaha.


nao bawakuona la kutenda; maana watu wote waliambatana nae, wakimsikiliza.


Akashuka upesi, akamkaribisha kwa furaha.


IKAWA makutano walipomsonga, wakisikiliza neno la Mungu, yeye alikuwa akisimama kando ya ziwa la Genesareti:


Rudi nyumbani kwako, ukayakhubiri mambo makuu aliyokutendea Mungu. Akaenda zake, akikhubiri katika mji mzima mambo makuu ambayo Yesu amemtendea.


Yeye alikuwa taa iwakayo na kuangaza, na ninyi mlipenda kuishangilia nuru yake kitambo.


Marra nikatuma watu kwako, nawe umefanya vyema kuja. Bassi sasa sisi sote tupo hapa mbele za Mungu, tupate kuyasikiliza maneno yote uliyoamriwa na Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo