Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:39 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

39 Rudi nyumbani kwako, ukayakhubiri mambo makuu aliyokutendea Mungu. Akaenda zake, akikhubiri katika mji mzima mambo makuu ambayo Yesu amemtendea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 “Rudi nyumbani ukaeleze yote Mungu aliyokutendea.” Basi, yule mtu akaenda akitangaza kila mahali katika mji ule mambo yote Yesu aliyomtendea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 “Rudi nyumbani ukaeleze yote Mungu aliyokutendea.” Basi, yule mtu akaenda akitangaza kila mahali katika mji ule mambo yote Yesu aliyomtendea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 “Rudi nyumbani ukaeleze yote Mungu aliyokutendea.” Basi, yule mtu akaenda akitangaza kila mahali katika mji ule mambo yote Yesu aliyomtendea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 “Rudi nyumbani ukawaeleze mambo makuu Mungu aliyokutendea.” Kwa hiyo yule mtu akaenda, akatangaza katika mji wote mambo makuu ambayo Isa alimtendea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 “Rudi nyumbani ukawaeleze mambo makuu Mungu aliyokutendea.” Kwa hiyo yule mtu akaenda, akatangaza katika mji wote mambo makuu ambayo Isa alimtendea.

Tazama sura Nakili




Luka 8:39
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nae akatoka, akaanza kukhubiri mengi, na kulitangaza lile neno, hatta Yesu asiweze tena kuingia mjini kwa wazi; bali alikuwa nje mabali pasipo watu; wakamwendea kutoka killa pahali.


Alipokuwa akipanda chomboni, yule aliyekuwa na pepo akamsihi awe pamoja nae:


Yesu hakumrukhusu, bali alimwambia, Enenda zako nyumbani kwako, kwa watu wa kwenu, kawakhubiri ni mambo gani makuu aliyokutendea Bwana, na jinsi alivyokurehemu.


Na yule mtu aliyetokwa na pepo akamsihi awe pamoja nae: lakini Yesu akamwaga, akisema,


Yesu alipokuwa akirudi makutano wakamkaribisha, kwa maana watu wote walikuwa wakimngojea.


Njoni, nitazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! haimkini huyu kuwa ndiye Kristo?


Lakini mtu asiyewatunza walio wake na khassa watu wa nyumba yake ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo