Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Wachungaji walipoona, wakakimbia, wakaenda zao wakaeneza khabari mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Wale watu waliokuwa wakichunga lile kundi la nguruwe walipoona yaliyotukia, wakakimbia, wakaeneza habari hizi mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Wale watu waliokuwa wakichunga lile kundi la nguruwe walipoona yaliyotukia, wakakimbia, wakaeneza habari hizi mjini na mashambani.

Tazama sura Nakili




Luka 8:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipokuwa wakienda njiani, baadhi ya askari waliingia mjini, wakawapasha makuhani wakuu khabari za mambo yote yaliyotendeka.


Wachungaji wakakimbia, wakaenda zao mjini, wakayakhubiri yote, na mambo ya wenye pepo pia.


Wachungaji wa wale nguruwe wakakimbia wakaeneza khahari mjini na mashamba. Wakatoka waone khabari iliyotukia.


Akawapa rakhusa: wale pepo wakamtoka mtu yule wakawaingia nguruwe, lile kundi likatelemka kwa kassi gengeni, wakafa baharini.


Wakatoka waone khabari iliyotokea. Wakamwendea Yesu, wakamwona yule mtu aliyetokwa na wale pepo ameketi migunni pa Yesu, amevaa nguo, ana akili zake: wakaogopa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo