Luka 8:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192132 Na kulikuwako kundi la nguruwe wengi, wakilisha mlimani. Wakamsihi awape rukhusa kuwaingia wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Mahali hapo kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani. Basi, hao pepo wakamsihi awaruhusu wawaingie. Naye Yesu akawapa ruhusa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Mahali hapo kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani. Basi, hao pepo wakamsihi awaruhusu wawaingie. Naye Yesu akawapa ruhusa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Mahali hapo kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani. Basi, hao pepo wakamsihi awaruhusu wawaingie. Naye Yesu akawapa ruhusa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe hapo likilisha kando ya kilima. Wale pepo wachafu wakamsihi Isa awaruhusu wawaingie hao nguruwe, naye akawaruhusu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe hapo likilisha kando ya kilima. Wale pepo wachafu wakamsihi Isa awaruhusu wawaingie hao nguruwe, naye akawaruhusu. Tazama sura |