Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Mama yake na ndugu zake wakamwendea wala hawakuweza kumkaribia kwa sababu ya mkutano.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hapo mama na ndugu zake Yesu wakamjia, lakini hawakuweza kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hapo mama na ndugu zake Yesu wakamjia, lakini hawakuweza kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hapo mama na ndugu zake Yesu wakamjia, lakini hawakuweza kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wakati mmoja mama yake Isa na ndugu zake walikuja kumwona, lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wakati mmoja mama yake Isa na ndugu zake walikuja kumwona, lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu.

Tazama sura Nakili




Luka 8:19
4 Marejeleo ya Msalaba  

Jamaa zake walipopata khabari wakatoka kwenda kumkamata: maana walinena, Amerukwa na akili.


Akapewa khabari na watu, waliosema, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kukuona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo