Luka 8:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 Kwa maana hakuna neno lililostirika ambalo halitakuwa dhabiri, wala neno lililofichwa ambalo halitajulikana, na kutokea wazi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi. Tazama sura |