Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Kwa maana hakuna neno lililostirika ambalo halitakuwa dhabiri, wala neno lililofichwa ambalo halitajulikana, na kutokea wazi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 “Chochote kilichofichwa kitafichuliwa, na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.

Tazama sura Nakili




Luka 8:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, msiwaogope, kwa maana hakuna jambo lililostirika, ambalo halitafunuliwa baadae; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana baadae.


Kwa maana hakuna neno lililostirika, illa kusudi lije likadhihirika; wala halikuwa siri, illa kusudi lije likatokea dhahiri.


Bassi msihukumu neno kabla ya wakati wake, mpaka ajapo Bwana; nae atayamulika yaliyosetirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo killa mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo