Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 8:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Na mfano ndio huu: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 “Basi, maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 “Basi, maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 “Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 “Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 “Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura Nakili




Luka 8:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.


Killa alisikiae neno la ufalme asifahamu, huja yule mwovu, akaliteka lililopandwa moyoni mwake. Huyu ndiye aliyepandwa njiani.


Askawaambia, Hamjui mfano huu? Bassi mifano yote mtaitambuaje?


Na wale wa njiani, ndio wasikiao, ndipo huja Shetani na kulitoa lile neno mioyoni mwao, illi wasije wakaamini, wakaokoka.


Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, kapokeeni kwa upole neno lililopandwa, liwezalo kuokoa roho zenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo