Luka 8:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 IKAWA muda si muda alikuwa akizungukazunguka katika miji na vijiji, akikhutubu na kukhubiri khabari njema za ufalme wa Mungu. Na wale thenashara walikuwa pamoja nae, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Baada ya hayo, Yesu alipitia mijini na vijijini akitangaza Habari Njema za ufalme wa Mungu. Wale kumi na wawili waliandamana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Baada ya hayo, Yesu alipitia mijini na vijijini akitangaza Habari Njema za ufalme wa Mungu. Wale kumi na wawili waliandamana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Baada ya hayo, Yesu alipitia mijini na vijijini akitangaza Habari Njema za ufalme wa Mungu. Wale kumi na wawili waliandamana naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Baada ya haya Isa alienda, akawa anazunguka katika miji na vijiji akihubiri Injili ya ufalme wa Mungu. Wale wanafunzi wake kumi na wawili walikuwa pamoja naye, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Baada ya haya Isa alikwenda, akawa anazunguka katika miji na vijiji akihubiri habari njema za Ufalme wa Mwenyezi Mungu. Wale wanafunzi wake kumi na wawili walikuwa pamoja naye, Tazama sura |