Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 7:49 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

49 Na wale walioketi pamoja nae wakaanza kusema ndani ya mioyo yao, Nani huyu hatta akasamehe dhambi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Ndipo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, “Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Ndipo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, “Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Ndipo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, “Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Lakini wale waliokuwa wameketi pamoja naye chakulani wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani ambaye hata anasamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Lakini wale waliokuwa wameketi pamoja naye chakulani wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani ambaye hata anasamehe dhambi?”

Tazama sura Nakili




Luka 7:49
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa alipoketi ale ndani ya nyumba, wutoza ushuru wengi na wenye dhambi wakaja wakaketi pamoja na Yesu ua wanafunzi wake.


Baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru.


Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezae kuondoa dhambi isipokuwa mmoja, ndive Mungu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo