Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 7:48 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

48 Akamwambia, Umesamehewa dhambi zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”

Tazama sura Nakili




Luka 7:48
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamletea mgonjwa wa kupooza, amelala kitandani: na Yesu, akiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa wa kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanaugu; umeondolewa dhambi zako.


Kwa maana vipi vyepesi, kusema, Umeondolewa dhambi zako; au kusema, Ondoka, ukaende?


Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, dhambi zako zimeondolewa.


Vipi vyepesi, kumwambia mwenye kupooza, Dhambi zako zimeondolewa, au kusema, Ondoka, njitwike kitanda chako, ukaenende?


Alipoona imani yao, akamwambia, Ee mtu, dhambi zako zimeondolewa.


Vipi vyepesi, kusema, Dhambi zako zimeondolewa, au kusema, Ondoka, ukaende.


Kwa ajili hiyo, nakuambia, Amesamehewa dhambi zake zilizo nyingi kwa kuwa amependa sana. Nae asamehewae kidogo hupenda kidogo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo