Luka 7:43 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192143 Simon akajibu akasema, Nadhani ni yule aliyesamehewa nae mengi. Akamwambia, Umehukumu haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Simoni akamjibu, “Ni dhahiri kwamba yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi atampenda zaidi yule bwana.” Yesu akamwambia, “Sawa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Simoni akamjibu, “Ni dhahiri kwamba yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi atampenda zaidi yule bwana.” Yesu akamwambia, “Sawa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Simoni akamjibu, “Ni dhahiri kwamba yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi atampenda zaidi yule bwana.” Yesu akamwambia, “Sawa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Simoni akajibu, “Nadhani ni yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi.” Naye Isa akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Simoni akajibu, “Nadhani ni yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi.” Naye Isa akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.” Tazama sura |