Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 7:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Na hekima imepata haki yake kwa watoto wake wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Lakini hekima huthibitishwa kuwa kweli na watoto wake wote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Nayo hekima huthibitishwa kuwa kweli na watoto wake wote.”

Tazama sura Nakili




Luka 7:35
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakanena, Mlafi huyu, na mnywa mvinyo, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imepewa haki na watoto wake.


Watu wote na watoza ushuru waliposikia wakampa Mungu haki, kwa kuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.


Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa, mkasema, Mlafi huyu, na mnywaji wa mvinyo, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi.


Mtu mmoja katika Mafarisayo akamtaka ale chakula pamoja nae. Akaingia katika nyumba yake yule Farisayo, akaketi chakulani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo