Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 7:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Bwana akasema, Nitawafananisha na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Isa akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Isa akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini?

Tazama sura Nakili




Luka 7:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi killa asikiae haya maneno yangu, na kuyafanya, nitamfananisha na mtu mwenye akili aliyejenga nyumba vake juu ya mwamba:


Akanena, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? au tuutie katika mfano gani?


Bali Mafarisayo na wana sharia walijikatalia shauri la Mungu kwa kuwa hawakubatizwa nae.


Wamefanana na watoto, waketio sokoni, wakiitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi nanyi hamkucheza, tuliomboleza, nanyi hamkulia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo