Luka 7:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192130 Bali Mafarisayo na wana sharia walijikatalia shauri la Mungu kwa kuwa hawakubatizwa nae. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Lakini Mafarisayo na waalimu wa sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu, wakakataa kubatizwa na Yohane. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Lakini Mafarisayo na waalimu wa sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu, wakakataa kubatizwa na Yohane. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Lakini Mafarisayo na waalimu wa sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu, wakakataa kubatizwa na Yohane. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Lakini Mafarisayo na wataalamu wa Torati walikataa mpango wa Mungu kwao kwa kutokubali kubatizwa na Yahya.) Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Lakini Mafarisayo na wataalamu wa Torati walikataa mpango wa Mungu kwao kwa kutokubali kubatizwa na Yahya.) Tazama sura |