Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 7:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 na yu kheri ye yote asiyechukizwa nami.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura Nakili




Luka 7:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na yu kheri ye yote asiyechukiwa nami.


Sumeon akawabariki, akamwambia Mariamu, mama yake, Hakika huyu amewekwa, waanguke, wasimame wengi katika Israeli; awe ishara inenwayo;


Akajibu, akawaambia, Enendeni, mkamweleze Yohana mliyoyaona na kuyasikia: vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, maskini wanakhubiriwa khahari njema:


Na wale wajumbe wa Yohana, walipokwisha kwenda zao, akaanza kuwaambia makutano khabari za Yohana, Mlitoka kwenda jangwani kutazama nini? Unyasi ukitikiswa na upepo?


Bassi mwana Adamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Mungu; maana kwake huyu ni mapumbavu, wala hawezi kuyajua, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo