Luka 7:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 Yohana akaita wawili katika wanafunzi wake akawapeleka kwa Yesu, akisema, Wewe ndiye yule ajae, au tumtazamie mwingine? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 aliwatuma kwa Bwana wamwulize: “Wewe ndiye yule anayekuja, au tumngoje mwingine?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 aliwatuma kwa Bwana wamwulize: “Wewe ndiye yule anayekuja, au tumngoje mwingine?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 aliwatuma kwa Bwana wamwulize: “Wewe ndiye yule anayekuja, au tumngoje mwingine?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 na kuwatuma kwa Bwana Isa ili kumuuliza, “Wewe ndiwe yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 na kuwatuma kwa Bwana Isa ili kumuuliza, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?” Tazama sura |